
Omba kwa ajili ya 5
CHUKUA DAKIKA 5 KWA SIKU KUWAOMBEA WATU 5 KWA MAJINA WANAOHITAJI YESU.
Njia za KUOMBA
- Baba, wavute kwa Mwanao Yesu (Yohana 6:44).
- Baba, ondoa upofu wao wa kiroho ili waamini Injili (2 Kor. 4:4; Mdo. 16:14).
- Baba, wape karama ya toba ili kuziacha dhambi zao (Yohana 16:8; 2 Tim. 2:25-26).
- Baba, nipe nafasi na ujasiri wa kushiriki Injili pamoja nao (Kol. 4:3-4; Mdo. 4:29-31).
- Baba, tafadhali uwaokoe wao na familia yao yote (Matendo 16:31).
MSHIRIKISHE YESU NAO KWA KUISHI NJE
Mtindo wa Maisha wa BARAKA
Anza na maombi | Wasikilize | Kula nao | Wahudumie | Mshiriki Yesu nao
www.prayforall.com